Skip to product information
1 of 1

SIRI YA JASIRI: Kitabu F1

SIRI YA JASIRI: Kitabu F1

Regular price KSh350.00
Regular price Sale price KSh350.00
Sale Sold out
Shipping calculated at checkout.

Jasiri amekuwa mwenye siri sana. Anajifungia ndani ya chumba chake na hawaruhusu Zuri au Toto kuingia chumbani mwake. Anajiepusha na wazazi wake na Bibi Fatuma. Mama na Baba wana wasiwasi. Jasiri anaficha nini?

Kitabu hiki ni bora kwa wasomaji chipukizi huru wenye umri kati ya miaka tisa na kumi na moja au darasa la sita. Hadithi hii inakuza hisia za huruma, uwajibikaji, na heshima kama thamani muhimu na uwezo wa kufikiri kwa kina na kutatua matatizo kama vipaji vya CBC.

View full details